Majeruhi:
Kiungo wa Manchester United, Jesse Lingard akiondoka kwa msaada wa
magongo kutoka hospitali ya Bridgewater, ambako alikwenda kutibiwa mguu
wake wa kulia baada ya kuumia juzi katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu
ya England dhidi ya Swansea City Uwanja wa Old Trafford. United
ilifungwa 2-1 na beki huyo anaungana na majeruhi wengine wa klabu hiyo
mwanzoni mwa msimu, Jonny Evans, Rafael, Luke Shaw, Antonio Valencia,
Danny Welbeck, Anderson na Michael Carrick.
Loading...


Post a Comment