Stori: Shakoor Jongo na Imelda Mtema
YAMETIMIA! Kundi lililojipatia umaarufu mkubwa la wasanii na waigizaji la Bongo Movie Unity, limeanza kumeguka baada ya Katibu wake, William Mtitu kujiuzulu nafasi hiyo, akimtuhumu kiongozi wao kuwatumia kisiasa.
Inadaiwa kuwa chombo hicho, kinatumiwa na mmoja wa watu wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwania Urais katika uchaguzi mkuu mwakani na kwamba amekuwa akitoa fedha nyingi, ambazo zinadaiwa kuishia hewani bila kueleweka zinavyotumika.
YAMETIMIA! Kundi lililojipatia umaarufu mkubwa la wasanii na waigizaji la Bongo Movie Unity, limeanza kumeguka baada ya Katibu wake, William Mtitu kujiuzulu nafasi hiyo, akimtuhumu kiongozi wao kuwatumia kisiasa.
“Nimechoka kutumiwa kisiasa bila ridhaa
yangu, kisingizio Bongo muvi, hiyo kitu hakuna kama kuna mtu au chama
kinahitaji kututumia wasanii au kuitumia Bongo muvi basi unatakiwa uwazi
na si kumtumia mtu mmoja kwa manufaa yake mwenyewe,” alisema Mtitu
alipoulizwa kulikoni.
Inadaiwa kuwa chombo hicho, kinatumiwa na mmoja wa watu wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwania Urais katika uchaguzi mkuu mwakani na kwamba amekuwa akitoa fedha nyingi, ambazo zinadaiwa kuishia hewani bila kueleweka zinavyotumika.
GPL
Post a Comment