Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BONGO MOVIE YAANZA KUMEGUKA

              

Stori: Shakoor Jongo na Imelda Mtema
YAMETIMIA! Kundi lililojipatia umaarufu mkubwa la wasanii na waigizaji la Bongo Movie Unity, limeanza kumeguka baada ya Katibu wake, William Mtitu kujiuzulu nafasi hiyo, akimtuhumu kiongozi wao kuwatumia kisiasa.
Katibu wa Bongo Muvi, William Mtitu.
“Nimechoka kutumiwa kisiasa bila ridhaa yangu, kisingizio Bongo muvi,  hiyo kitu hakuna kama kuna mtu au chama kinahitaji kututumia wasanii au kuitumia Bongo muvi basi unatakiwa uwazi na si kumtumia mtu mmoja kwa manufaa yake mwenyewe,” alisema Mtitu alipoulizwa kulikoni.

Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, 'Steve Nyerere'.
Inadaiwa kuwa chombo hicho, kinatumiwa na mmoja wa watu wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwania Urais katika uchaguzi mkuu mwakani na kwamba amekuwa akitoa fedha nyingi, ambazo zinadaiwa kuishia hewani bila kueleweka zinavyotumika.
GPL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top