Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Afungua Mkutano wa Wadau wa barabara wa Serikali za Mitaa

 


  Waziri Mkuu. Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu Mkuu , Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI,  Jumanne Sajini baada ya kuwasili  kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro August 17, 2014 na  atafungua  Mkutano wa  Wadau wa  barabara wa Serikali za Mitaa  kwenye hoteli ya Ngurdoto Arusha August 18, 2014.  Katikati ni Waziri wa TAMISEMI , Hawa Ghasia.


 Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Barabara  wa Serikali za Mitaa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye hoteli ya Ngurdoti, Arusha August 18, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu



Wazirii Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wakuu wa Mikoa, Thabiti Mwambugu wa Ruvuma (kushoto),Joseph Simbakaria wa Mtwara (wapili kusho) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI, Hawa Ghasia baada ya kufungua mkutano wa wadau wa barabara wa Serikali za Mitaa kwenye hoteli ya Ngurdoto ,Arusha August 18, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top