Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

IGP MSTAAFU PHILEMON MGAYA ASHEREHEKEA MIAKA 85 YA KUZALIWA

 
 Mara Baada ya Ibada katika Kanisa la Azania Front wakati wa  kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)  Mzee Philemon Mgaya
Baadhi ya waumini mbalimbali wakiwa nje baada ya Ibada
 Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Mstaafu Philemoni Mgaya akiwa katika siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake
 Keki
Waziri  Mkuu Mstaafu Mhe Cleopa David Msuya akimpongeza aliyekuwa IGP Philemoni Mgaya
 Mzee Timothy Msangi akieleza Historia fupi ya IGP Mstaafu Mzee Philemon Mgaya
 Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheli Tanzania (KKKT) Alex Malasusa akitoa salam za Pongezi kwa IGP mstaafu
 Mshauri wa kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Limited James Rugemalira akitoa pongezi zake kwa IGP Mstaafu na kuelezea  Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Limited
 Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni Mabibo Beer and Wines Mama  Benedicta Rugemalira akitoa salam za Pongezi kwa IGP mstaafu

Mshereheshaji Joe Mgaya ambaye ni Mtoto wa IGP Mstaafu Philemon Mgaya akisherehesha

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheli Tanzania (KKKT) Dkt. Alex Malasusa akimpongeza Mzee Mgaya
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt.  Fenella Mukangara  akimpa mkono wa Pongezi IGP mstaafu


Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheli Tanzania (KKKT) Dkt. Alex Malasusa na Mzee Mgaya wakiwa katika Furaha
IGP Mstaafu akipokea zawadi

IGP Mstaafu Philemoni Mgaya akikata keki huku amezungukwa na wajukuu wake



Mzee Mgaya akipongezwa na Mzee James Rugemalira
Haya wajukuu na tule keki sasa....
Balozi Juma Mwapachu na Mwenyekiti Mstaafu wa Gymkhana Club Mzee George Kritsos wakipozi na Mzee Mgaya
Mzee Mgaya akipozi na baadhi ya watu mashuhuri waliohudhuria sherehe hizo
Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Cleopa David Msuya akiwa na mabinti wa Mzee Msangi











 Watu mbalimbali wakiwa katika Sherehe hiyo




 Burudani ya nguvu

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana