BENDI
inayokuja kasi hapa nchini, Yamoto Band" kundi la vijana wenye vipaji
vipya usiku wa kuamkia leo imefanya kufuru ndani ya Ukumbi wa Burudani
wa "Lina's Night Club" uliopo hapa Mjini Bukoba. Ambao waliimba nyimbo
zao matata za 'Najuta' ya Yamoto Band na nyingine zinazounda Album zao
na kuhudhuriwa na umati wa Mashabiki ndani ya ukumbi huo na kuwafanya
mashabiki muda wote kuvamia jukwaa kwa Makamuzi hayo ya kufa Mtu. Yamoto
Band ambao ndio kwa mara ya kwanza kuja Hapa Mjini Bukoba wakiletwa na
kampuni ya Shemeji Investment kushiriana na Ibra Cadabra.
Taswiara ya Mashabiki
Waimbaji wa Kundi zim la Yamoto Band wakilishambulia jukwaa!!
Mambo ya Yamoto Band...Vijana kazini Bukoba!
Mmoja wa Wachezaji wa Bendi hiyo akicheza mbele ya Meza kuu
Vijana hao waliwapagawisha mashabiki kwa nyimbo zao mbalimbali kama vile Yamoto, Birthday na nyingine kibao.
Wengine walisimama kwenye kuta ili waweze kuona vizuri mbele
Wakina dada wakichukua picha kwenye simu zao
Mzungu wa Bukoba nae hakuweza kujificha
Post a Comment