Manchester
United imejikuta ikiindelea kuwa wanyonge wa Manchester City baada ya
kukubali kipigo cha 1-0 katika mchezo mkali uliofanyika katika uwanja wa
Etihad, Jumapili, goli lililofungwa na Sergio Aguero dakika ya 63.
Lakini picha zimebadili mchezo huo na huenda Mbelgiji huyo mwenye asili ya kiarabu akakumbana na adhabu ya FA.
Post a Comment