Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HAJI MANARA AWA MSEMAJI MPYA WA SIMBA

UONGOZI wa Klabu ya Simba umemtangaza Haji Sunday Manara kuwa ofisa habari mpya kwenye klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara.
Katibu Mkuu wa Simba, Stephene Ally alisema kuwa ofisa habari huyo ameteuliwa na kamati ya utendaji baada ya kuona anakidhi vigezo.
Stephene amesema, aliyekuwa ofisa wa timu hiyo, Humphrey Nyasio yeye amebadilishiwa majukumu katika sekretarieti ya Simba katika kuhakikisha wanafikia malengo yao.
“Uongozi kwa jumla umelipitisha jina la Manara kuwa ofisa habari wetu katika klabu yetu ya Simba na Nyasio aliyekuwa ofisa habari yetu tumembadilishia majukumu mengine,” alisema Stephene.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top