Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WATU WAWILI WAMEFARIKI BAADA YA BASI LA FM SAFARI KUGONGANA NA FUSO ENEO LA MIKUMI


Watu wawili wamefariki katika ajali iliyotokea huko Mikumi kati ya basi  lenye namba za usajili T 179CRG mali ya Fm safari linalotoka Dar es Salaam kwenda Mbeya na roli aaina ya Fuso.
Baadhi ya wasamalia wema wakiendelea kuokoa abiria waliokuwa kwenye basi ilo lililopata ajali maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro.




Hii ndio hali halisi ya magari baada ya kupata ajali eneo la Mikumi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top