Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MWANAMUZIKI MAARUFU WA AFRIKA AUAWA KWA KUPIGWA NA MPENZI WAKE

Hizi ni baadhi ya kutoka eneo la tukio:Wasanii wenzake wakiwa katika sehemu ya tukio
Huyu  ndiye mwanamuziki aliyeuawa baada ya kupokea kichapo kutoka kwa mpenzi wake
Huyu ndiye mwanamuziki aliyeuawa baada ya kupokea kichapo kutoka kwa mpenzi wake
 
Mwanamuziki maarufu wa nyimbo za rapa nchini Afrika Kusini Nkululeko Habedi ameuawa baada ya kugombana na mpenzi wake wa kike.
Mdogo wa mwanamuziki huyo alitoa taarifa kwenye vyombo vya habari kuwa alimuona kaka yake anapoteza maisha kutokana na kutokwa na damu nyingi.
Ndugu wa mwanamuziki huyo ambao walishuhudia tukio hilo wamesema kuwa waliamka mapema kuelekea kwa kaka yao  na baada ya kufika karibu na nyumba yake walisikia kelele zikitoka ndani, muda mfupi walimuona rapa huyo akiwa anatokwa na damu nyingi kutokana na kugombana na mpenzi wake kwa muda wa masaa mawili.
Polisi nchini humo wamesema kuwa mpenzi wake huyo atafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.
Hizi ni baadhi ya kutoka eneo la tukio:Wasanii wenzake wakiwa katika sehemu ya tukio
Watu wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye eneo la tukio
Watu wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye eneo la tukio
Watu wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye eneo la tukio
Mdogo mtu aliyevaa tshirt ya kijani akiwa na majonzi
Mdogo mtu aliyevaa tshirt ya kijani akiwa na majonzi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top