Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Wema Sepetu aamua 'kuolewa'. Aenda kumtambulisha mume nyumbani kwao



Kwa mujibu wa tovuti ya Mange, inasemekana mwanadada Wema Sepetu ameamua kufanya kweli na kwenda kumtambulisha mume wako mtarajiwa nyumbani kwako Singida tayari kwa mipango ya ndoa.
 
Kupitia picha iliyowekwa kwenye tovuti hiyo inayomuonesha mwanadada Wema akiwa na pete ya ndoa kidoleni anayodaiwa kuvalishwa na mchumba wake huyo ambaye wapasha habari wa hapa mjini wanadai ni yule tajiri wa Uganda - Ivan aliyekuwa mume wa mwanadada Zari ambaye kwa sasa ni mpenzi wa ex wa zamani wa Wema – Diamond Platnumz.
 
Unahisi Diamond na Zari watahudhuria kwenye harusi hii? Tupe maoni yako

NB:
Wema  ni ex  wa  Diamond.
Mume  mtarajiwa  wa  Wema  ni Ex  wa  Zari ambaye  ni  mpenzi  wa  sasa  wa  Diamond
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top