![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVCx0XVT6cnTUdFr7PbKywSlnxNZYs5YnYeUEtHMcDkFN6rCVo2jEkx7sSRnVgkrprILf9Drikm1qmvvewzJBnNpNLeD90dRsijBxEyvaBchztyKFmdvxh_xKYK0bj2JKWW1gcoYy-7JVY/s640/E86A0914+%25281280x853%2529.jpg) |
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Josgua Nassari akiwahutubia wananchi wa kata ya Ngarenanyuki katika jimbo la Arumeru Mashariki akihimiza kujitokezakwa wingi katika zoezi la kujiandikisha katia daftari la kudumu la wapiga kura.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguRSCkE5PABqcgXw5NGlQqQghRAoPbXEwg5GMuqdLq-B18owXVsKFe8WfRRDg5SXlSzyZDZAuO7MtzJSIBjznV2DPQ5G3R582z28kI1c9Qtg3jniJNkz0L0MkYCg_a3cbQLdZ6Aj1oIpzU/s640/E86A0870+%25281280x853%2529.jpg) |
Mbunge Nassari akiwahutubia wananchi katika kata ya King'ori jimbo la Arumeru Mashariki akihamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgu7lVwve572aaN4vGYe_uQqgBKfUJrGqU5-YCFbrbQRhPdNOYUOsJUkeEyzsRbyntDAbdECe-9-8pOGJEaCZRucvEEJH7F9jyRp2Bup_NbfobWIyXe9u9bzRfz6SiUvezTIwbU39A6ofvW/s640/E86A0882+%25281280x853%2529.jpg) |
Baadhi ya wananchi wa kata ya Ng'arenanyuki waliofika katika mkutano wa hadhara wa uhamasishaji juu ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la kupiga kura . |
|
on Thursday, June 25, 2015
Post a Comment