Bruno
Coleman Kimaryo, alikuwa akijiita majina mengi ya bandia na kutukana
sanakwenye mitandao ya kijamii hatimaye safari ameingia mwenyewe choo
cha kike na kunaswa na Serikali, haya ni baadhi ya majina ya bandia
aliyokuwa akiyatumia kurushia maneno ya chooni huko facebook:- Bruno
KIMS.....aka Wegesa Ole Sugutu.

STATEMENT YA POLISI

Huu ndio ujumbe aliouandika kwenya FACEBOOK na kuutuma kwenye Group la TANURU LA FIKRA


Post a Comment