Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DK. JOHN POMBE MAGUFULI ALIRUDISHA FOMU TUME YA UCHAGUZI


Mgombea Kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli akipokea nyaraka mbalimbali ikiwemo Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria ya Taifa ya Uchaguzi,Maelekezo kwa wagombea wa vyama vya siasa, Maadili ya Uchaguzi toleo la mwka 2015 na sheria na kanuni za gharama za uchaguzi kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa Uchaguzi Damian Lubuva, mapema leo kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jijini Dar es Salaam.

Mgombea Urais  Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji Mstaafu na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa Uchaguzi Damian Lubuva wakati wa kurejesha Fomu za kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mapema leo kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jijini Dar es Salaam.

Mgombea Kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli akipokea nyaraka mbalimbali ikiwemo Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria ya Taifa ya Uchaguzi,Maelekezo kwa wagombea wa vyama vya siasa, Maadili ya Uchaguzi toleo la mwka 2015 na sheria na kanuni za gharama za uchaguzi kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa Uchaguzi Damian Lubuva, mapema leo kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jijini Dar es Salaam.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top