Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MTOTO WA DIAMOND PLATINUMS AFUNGWA KITU CHEUSI MKONONI


Eti jamani hicho hapo mkononi kwa mtoto Tiffah ni nini?


Kuna mabishano eti wengine wanadai ni hirizi? Mie nimebisha aisee kwa udhungu alio nao mama ake sidhani kama anaamini hayo mambo!! Embu nijuze basi...
Majibu ya Wadau yalikuwa Haya:
mossyfimbo
Hiyo sio hirizi ni kitu kina itwa MVUJE unaufunga kwenye kitambaa cheusi kisha wamfunga mtoto mkononi ni imani tu kuwa mtoto asisumbuliwe na mapepo machafu kwa kuwa unanuka vibaya unaharufu mbaya sana kwa hiyo pepo chafu au baya haliwezi kumkaribia mtoto ni imani za miaka nenda rudi sasa kaka bibi kamfunga Dai au Zari hawezi sema chochote lakini ukifunga kwenye kitambaa ile harufu huwezi isikia kabisa. Hata mimi nilisikia kwa wazazi wangu nami na copy kuandika hapa labda kuna mwingine anajua kwa maana tofauti. 

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top