Mume wa dada yake na Diamond, Esma,
Petit Man ambaye pia ni mfanyakazi wa kampuni ya Wema Sepetu, Endless
Fame Film amekanusha kutoka kimapenzi na na bosi wake huyo.
Akizungumza kwenye kipindi cha na FNL cha EATV jana, Petit alisema anamheshimu Wema kama bosi wake.
“Niko na Wema huu ni mwaka wa nane
inasemekana vitu hivyo hivyo,” alisema. “Lakini Wema akiwa tu karibu na
mtu basi watu wanasema hivyo.
Ilikuwa kwa Mirror wakasema hayo, maneno hayo ni maneno wanayoyaongea.
Hakuna kitu chochote, Wema ni bosi wangu tena wa uhakika,” aliongeza.
Loading...
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
-
Kwa Undani2 hours ago
-
-
-
-
-
-
Serikali yatoa kauli kuhusu Dbi ya Kariakoo9 months ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-


Post a Comment