Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MATOKEO UCHAGUZI YAMTABIRIA USHINDI .... LOWASSA AFUNIKA AKIHITIMISHA KWA KISHINDO



Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Mh. Juma Duni Haji, wakiwasili kwenye viwanja vya Jangani jijini Dar es salaam, kwa ajili ya Mkutano wa Kufunga Kampeni zao, leo Oktoba 24, 2015.
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Jangani jijini Dar es salaam, kwa ajili ya Mkutano wa Kufunga Kampeni zao, leo Oktoba 24, 2015.


Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Jangwani Jijini Dar es salaam na Taifa kwa ujumla kupitia vyombo mbali mbali vya habari, wakati wa Mkutano wa kufunga Kampeni, leo Oktoba 24, 2015.



Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top