Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais Kikwete apiga kura Kijijini Kwake Msoga.


 

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika foleni akisuburi zamu yake ya kupiga kura leo katika kituo cha hospitali ya kijiji cha Msoga kata ya Msoga wilayani Bagamoyo leo.
Ofisa katika kituo cha kupigia kura katika kituo cha hospitali ya kijiji cha Msoga akihakiki kadi ya kupiga kura ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete. 
 Ofisa katika kitu cha kupiga kura akimkabidhi Rais Kikwete karatasi za kupiga kura.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiandika kura yake ya siri.


 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipiga kura ya Rais Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura cha hospitali ya kijiji cha Msoga,Kata ya Msoga wilayani Bagamoyo leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipakwa wino kuonyesha kuwa amepiga kura katika kituo cha kupiga kura cha hospitali ya kijiji cha Msoga, Kata ya Msoga wilayani Bagamoyo leo.
(Picha na Freddy Maro).
 Mama Salma Kikwete akisubiri kadi inayokaguliwa na msimamizi wa Kituo alichojiandikisha na hatimaye kupiga kura  katika Ofisi ya Afisa Mtendaji Kata ya Mtanda Halmashauri ya Manispaa ya Lindi Mjini.
 Mama Salma akisubiri moja ya fomu za kuchagua Rais,Wabunge na Madiwani
 Msimamizi wa kituo akiangalia picha ya Mama Salma katika dafutari la wapigakura
 Mama Salma akiweka tiki kumchagua kiongozi BORA.
 Mama Salma akitumbukiza karatasi ya kura ya Diwani.
 Mama Salma akitumbukiza karatasi ya kura ya Mbunge.
 Mama Salma akitumbukiza karatasi ya kura ya Rais.
 Mama Salma akiwekwa vino na msimamizi wa kituo unaotambulisha kuwa amepiga kura.
 Mama Salma akiwatakia kila la heri wananchi wanaotarajia kupiga kura kituoni hapo
 Wananchi wakiwa katika mstari tayari kuelekea kupiga kura.
 Wananchi wakiwa katika mstari tayari kuelekea kupiga kura.
 Mama Salma akiagana na baadhi ya wananchi Uwanja wa Ndege wa Kikwetu Lindi.
 Mama Salma akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Jordan Rugimbana.
Mama Salma akipanda Ndege  na kuwapungia mkono Maofisa waliopo Uwanja wa Ndege Kikwetu Lindi  tayari kuelekea Dar es Salaam baada ya kupiga kura.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top