Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA APIGA KURA


Jaji S.K. Mutungi akipata maelekezo jinsi ya kukunja karatasi za kupigia kura kutoka kwa Bw. Franco Mololo Mwakabuta ambaye ni msimamizi Mkuu wa Kituo namba 2 cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Bunge.
Jaji Mutungi akiwa kwenye chumba cha kupiga kura.
Msajili wa Vyama vya Siasa Mhe. Jaji S.K. Mutungi akipiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wa ngazi za ubunge na udiwani katika kituo cha kupigia kura cha shule ya Msingi Bunge mapema Asubuhi Leo Octoba 2015.
 Bw. Themistocles Justinian ambaye ni Msiamamizi  Msaidizi wa Kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Bunge akiweka alama katika kidole cha  Jaji Mutungi kushiria tayari amekwisha kupiga kura.
  Baadhi ya wananchi wakihakiki majina yao kwa ajili ya kupiga kura
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top