Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Saed Kubenea wa CHADEMA aibuka Mshindi jimbo la Ubungo

Aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Saed Kubenea ameibuka mshindi katika jimbo hilo kwa kuwabwaga wagombea wenzake akiwemo mshindani wake wa karibu Didas Masaburi wa CCM

Matokeo hayo ambayo yametangazwa rasmi, yamesema kuwa kubenea amepata ushindi wa kura 87, 606 ambazo hazijafikiwa na mgombea mwingine yeyote wa jimbo hilo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top