|
|
2. Mkuu mkoa akipokelewa kwa shangwe gerezani |
Mkuu wa mkoa wa kilimanjaro Amos Makalla amekabibidhi vifaa vya
michezo ikiwemo jezi, mipira,nyavu za magoli na vikombe kwa ajili ya
timu ya wafungwa na askari gereza la Karanga Moshi ikiwa ni utekelezaji
wa ahadi aliyoitoa hivi karibuni baada ya kufanya ziara gerezani hapo na
kupokea maombi Katika hafla ya kukabidhi vifaa hivyo
yenye thamani ya shilingi milioni tatu na nusu aliwakumbusha wafungwa na
mahabusu kuwa michezo hujenga umoja, michezo ni burudani, michezo ni
kwa afya na zaidi kwa wenye vipaji michezo itumike kulinda vipaji vyao
na siku wakitoka waviendeleze vipaji Vifaa alivyokabidhi
ni pamoja na nyavu za magoli, vikombe 2 vya kushindaniwa,jezi kwa timu
5 za wafungwa na mahabusu, mipira 10 kwa ajili ya wafungwa na mahabusu,
jezi moja na mpira mmoja kwa ajili ya timu ya netball ya wafungwa
wanawake na jezi moja , mipira 3 na nyavu za magoili kwa ajili ya timu
ya askari magerezaUongozi wa gereza, wafungwa na
mahabusu wamemshukuru sana mkuu wa mkoa kwa msaada huo na wamemuhaidi
kumuuenzi na kila mwaka watakuwa na ligi itakayoitwa Makalla Cup na
wamewataka viongozi na wadau wengine kite nchini kuiga mfano alioonyesha
mkuu wa mkoa wa kilimanjaro |
|
2. Mkuu mkoa akipokelewa kwa shangwe gerezani |
|
3. Mkuu mkoa akifunga penati timu ya mahabusu Mchezo jana mahabusu 1 na wafungwa 1. |
on Monday, November 16, 2015
Post a Comment