Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Tasaf Manyara yasaidia kaya masikini



Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera akizungumza na mtoto wa mkazi wa Kitongoji cha Madukani Wilayani Simanjiro Helena Saitabau, ambaye alipatiwa sh 120,000 za mfuko wa Maendeleo ya jamii nchini (Tasaf) kwa lengo la kusaidia kaya masikini.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera akizungumza na mkazi wa Kitongoji cha Madukani Wilayani Simanjiro, Loshilaa Moiyo, ambaye alipatiwa sh110,000 za mfuko wa Maendeleo ya jamii nchini (Tasaf) kwa lengo la kusaidia kaya masikini.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top