Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWS: ABIRIA WANUSURIKA AJALI YA NDEGE MJINI BUKOBA HII LEO


Watu kadhaa wamenusurika baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Auric Air waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Uwanja wa Ndege wa Manispaa Bukoba baada ya ndege hiyo kupata pancha tairi ya nyuma ya upande wa kulia ilipokua inatua.
Kwa umahiri wa Rubani amaweza kuicontrol kama inavyo onekana pichani ikiwa pembezoni mwa Uwanja.
Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Jijini Mwanza ,tukio limetokea majira ya saa nne asuhuhi ya leo Jumamosi April 30,2016
#BUKOBAWADAU MEDIA
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana
Back To Top