Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais Magufuli ampa siku 28 kigogo Mkoa wa Pwani

Rais Magufuli amempa siku 28 Meneja wa Idara ya Maji kuhakikisha maji yanapatikana Ikwiriri. Akishindwa atamchukulia hatua.


Rais Magufuli, leo March 2, 2017 ameanza ziara ya kikazi ya siku 4 kwenye mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara, atafungua miradi ya maendeleo.

Katika ziara hiyo Rais Magufuli atafungua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza na wananchi katika mikutano ya hadhara.

Leo asubuhi ameweka jiwe la msingi la kiwanda cha kutengeneza vigae (Tiles) cha Tanzania Goodwill Ceramic Tiles Ltd  kilichopo Mkuranga mkoani Pwani na emeelekea mkoani Lindi.

Kesho ataendelea na ziara yake mkoani Lindi na keshokutwa ataelekea  Mtwara.

Xxxxx

ambapo utapata OFFERS mbili za kutangaza

Mosi; Kwenye blog http://www.ndgshilatu.blogspot.com ambapo litaweka kwenye USO wa blog pamoja na kurushwa Mara kwa Mara kama post ya habari.

Pili; Kama haitoshi tangazo lako tutalitangaza pia kupitia akaunti za FaceBook na Twitter za Blog hii.

Kwa kutangaza nasi biashara ama huduma yako itawafikia zaidi ya Watazamaji 50,000+ na zaidi ya nchi 120+ wanaozitembelea Blog na akaunti  hizi kila siku.

Kutokana na hii ni wazi kuwa Tangazo lako litawafikia watu wengi zaidi Duniani ndani ya muda mfupi

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia e-mail pbuyegu2@gmail.com

Offer hii itadumu kwa muda mfupi tu ila tangazo lako litawekwa hewani kwa muda wa mwezi mzima.

Changamkia fursa hii adimu uimarishe Biashara yako.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top