Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais Magufuli Kafanya Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Ngenya Athuman Yusuf kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS).


Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Dkt. Ngenya Athuman Yusuf umeanza tarehe 30 Juni, 2018.

Kabla ya uteuzi huo Dkt. Ngenya Athuman Yusuf alikuwa Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM).

Dkt. Ngenya Athuman Yusuf amechukua nafasi ya Prof. Egid Beatus Mubofu ambaye ameteuliwa kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top