Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BAABKUBWA RELOADED PARTY;Yaliyojiri kwenye BAABKUBWA RELOADED PARTY AT NEW MAISHA CLUB

 

Mbele ya steji ilikuwa imepambwa na cover za magazeti ya Baabkubwa yaliyopita na kusomwa na wengi.

Baghdady kwa steji akifanya vitu vyake

Huku burudani ikiendelea wengine walikuwa wakijisomea gazeti la Baabkubwa kama kawaida kabisa

Sam wa Ukweli alikuwa anatambulisha wimbo wake mpya pamoja na video yake mpya

Nadiriki kusema Club Maisha ilikuwa imejaa watu na joto lake lilikuwa si mchezo, kweli watu wanapenda uzalendo wa club yao, hata kuwe vipi lazima mtu asimame mwanzo mwisho atizame burudani

Kila siku iendayo kwa mungu napotizama show za DYNA napata picha nyingine mpya machoni mwangu kwa jinsi atakavyokuwa msanii wa kike anayetoa burudani kali kwa steji kwa maana anajipanga sana, BIG UP mdogo wangu

Baba Jonii akiwa kwa steji akimtambulisha Gadna G Habashi kwa steji ili aje amtambulishe mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba

Captain Gadna G Habashi kwa steji akimtambulisha mama mzazi wa Kanumba

Mama akiinua ile tuzo juu aliyopewa na gazeti la Baabkubwa kama heshima ya mwanae Steven Kanumba

Na hii ni picha kubwa aliyopewa mama yenye sura ya Kanumba kama kumbukumbu yao iliyotolewa na gazeti hilo la BaabKubwa

DYNA akimpa msanii wa kike mkongwe Lady Jay Dee tuzo ya msanii bora wa kike

Yusuph Mlela alipanda jukwaani kuja kutoa tuzo ya mwigizaji bora wa kike katika tasnia hii ya filamu zetu za hapa bongo, na aliyekuja kuchukua tuzo hiyo ni Monalisa

Monalisa akiwashukuru BaabKubwa na mashabiki wake kwa ujumla

Madee alikuja kutoa tuzo ya mwimbaji bora wa kiume ambaye alikuwa ni Prof Jay na niliitwa mbele kuchukuwa tuzo hiyo kwa niaba yake kwamaana alikuwa hayupo Prof Jay

Producer Lamar alikuja kwa steji kutoa tuzo ya Producer bora wa mziki hapa bongo na aliyekuja kuchukuwa tuzo hiyo ni GOD FATHER WA BONGO FLEVA P.Funk Majani

Bob Junior huwa haniangushagi katika show zake,

Big Up sana Rich Mavoko unafanya poa sana katika show zako ila punguza mwili kidogo kwa maana nilikuwa nakutizama nikaona kabisa umeongezeka so hapo mbele kama panataka kutuna hivi.

Mr Blue kwa steji akimuita mkongwe mwingine kwenye bongo fleva Q.Chief waje waimbe wote

Q.Chief

BASI SAWA....Mambo ya binadamu hayooo

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top