Mbele ya 
steji ilikuwa imepambwa na cover za magazeti ya Baabkubwa yaliyopita na kusomwa 
na wengi. 
 Baghdady 
kwa steji akifanya vitu vyake
Huku 
burudani ikiendelea wengine walikuwa wakijisomea gazeti la Baabkubwa kama 
kawaida kabisa 
 Sam wa 
Ukweli alikuwa anatambulisha wimbo wake mpya pamoja na video yake 
mpya
Nadiriki 
kusema Club Maisha ilikuwa imejaa watu na joto lake lilikuwa si mchezo, kweli 
watu wanapenda uzalendo wa club yao, hata kuwe vipi lazima mtu asimame mwanzo 
mwisho atizame burudani 
 Kila siku 
iendayo kwa mungu napotizama show za DYNA napata picha nyingine mpya machoni 
mwangu kwa jinsi atakavyokuwa msanii wa kike anayetoa burudani kali kwa steji 
kwa maana anajipanga sana, BIG UP mdogo wangu
 Baba 
Jonii akiwa kwa steji akimtambulisha Gadna G Habashi kwa steji ili aje 
amtambulishe mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba
 Captain 
Gadna G Habashi kwa steji akimtambulisha mama mzazi wa 
Kanumba
 Na hii ni 
picha kubwa aliyopewa mama yenye sura ya Kanumba kama kumbukumbu yao iliyotolewa 
na gazeti hilo la BaabKubwa
 DYNA 
akimpa msanii wa kike mkongwe Lady Jay Dee tuzo ya msanii bora wa 
kike
 Yusuph 
Mlela alipanda jukwaani kuja kutoa tuzo ya mwigizaji bora wa kike katika tasnia 
hii ya filamu zetu za hapa bongo, na aliyekuja kuchukua tuzo hiyo ni 
Monalisa
 Monalisa 
akiwashukuru BaabKubwa na mashabiki wake kwa ujumla
 Madee 
alikuja kutoa tuzo ya mwimbaji bora wa kiume ambaye alikuwa ni Prof Jay na 
niliitwa mbele kuchukuwa tuzo hiyo kwa niaba yake kwamaana alikuwa hayupo Prof 
Jay
 Producer 
Lamar alikuja kwa steji kutoa tuzo ya Producer bora wa mziki hapa bongo na 
aliyekuja kuchukuwa tuzo hiyo ni GOD FATHER WA BONGO FLEVA P.Funk 
Majani
 Bob 
Junior huwa haniangushagi katika show zake,
 Big Up 
sana Rich Mavoko unafanya poa sana katika show zako ila punguza mwili kidogo kwa 
maana nilikuwa nakutizama nikaona kabisa umeongezeka so hapo mbele kama panataka 
kutuna hivi.
Mr Blue 
kwa steji akimuita mkongwe mwingine kwenye bongo fleva Q.Chief waje waimbe 
wote 
 Q.Chief
 BASI 
SAWA....Mambo ya binadamu hayooo

 

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Post a Comment