Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Waziri Wa Habari Afungua Kikao Kazi Cha Sekta Ya Utamaduni....

 


Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akifungua Kikao Kazi cha tisa cha Wadau wa Sekta ya Utamaduni nchini (hawapo Pichani).Kikao hicho kilifanyika Jijini Dar es Salaam hivi karibuni na kauli mbiu ilikuwa ni Urasimishaji wa tasnia za Filamu na Muziki uwe Chachu ya Maendeleo

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akiteta jambo na Katibu Mkuu Bw. Sethi Kamuhanda wakati wa Kikao cha tisa cha wadau wa Sekta ya Utamaduni kilichofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akimpongeza Mghani Mashairi Bwana Mohamed Lukemo wakati wa ufunguzi wa Kikao kazi cha tisa cha Sekta ya Utamaduni kilichofanyika hivi karibuni Jijini Dar es Salaa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top