Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Baba Mtakatifu Benedict wa 16 ajiunga na Mtandao wa Kijamii wa Twitter.

 

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Benedict wa 16.
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Benedict wa 16 amejiunga na mtandao wa kijamii wa Twitter.
Baba Mtakatifu alifungua ukurasa huo kwa lugha ya Kiingereza ambao tayari umekwisha wavutia watu 92,000.
Idadi hii inatarajiwa kuongezeka mara kiongozi huyo mzaliwa wa Ujerumani atakapoandika kitu kwenye ukurasa huo.
Bado hajasema chochote hadi sasa tangu kuufungua.
Uongozi wa Vatican umesema kuwa ataanza kuutumia rasmi tarehe 12 mwezi huu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana
Back To Top