|
Bondia Hamisi Matunda wa
Klabu ya Mashine ya Maji kushoto akipambana na Abdallah Shamte wa Klabu Ya
Ashanti ya ilala Shamte aliibuka na ushindi wa TKO raundi ya pili
|
|
Bondia Hamisi Matunda wa
Klabu ya Mashine ya Maji kushoto akipambana na Abdallah Shamte wa Klabu Ya
Ashanti ya ilala Shamte aliibuka na ushindi wa TKO raundi ya pili
|
|
Bondia wa Klabu Ya Ashanti ya
Ilala Abdallah Shamte akipambana na Hamisi Matunda wa Mashine ya maji wakati wa
mashindano ya klabu bingwaShamte aliibuka na ushindi wa TKO raundi ya
pili. |
|
Mashabiki wa ASHANTI BOXING YA
ILALA WAKISHANGILIA |
on Thursday, January 31, 2013
Post a Comment