



Waandishi wa habari wakimpiga picha (Simbo) wakati akiingia
mahakamani...
Akiondoka eneo la mahakama mara
baada ya kesi kuahirishwa akiwa na wakili wake.endelea kupitia
Audifacejackson
blog,.
Jackson Simbo anayedaiwa
kumgonga kwa gari marehemu trafiki Elikiza Nko wiki iliyopita maeneo ya
Bamaga-Mwenge jijini Dar ss Salaam amepandishwa kizimbani leo katika mahakama
ya Wilaya ya
Kinondoni.
Mshitakiwa huyo ameachiwa kwa
dhamana hadi kesi hiyo itakapo tajwa tena Aprili 15 mwaka
huu
Post a Comment