| Katibu wa Chama cha Albino Mkoa wa Mbeya, William Simwali akielezea umhimu wa kuwajali albino katika jamii |
| Mzazi wa watoto albino akimshukuru katibu wa chama cha albino mkoa wa Mbeya kwa msaada wao kwa watoto wao walioko huko Mbarali |
| Mwandishi wa Mbeya yetu Joseph Mwaisango akimsikiliza katibu wa chama cha maalbino mkoa wa Mbeya mara baada ya kukadhi mafuta hayo |
| Mtoto Joshua akiwa darasani na wenzake |
| Mtoto Linah akiwa darasani |


Post a Comment