Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KATIBU MKUU WA CCM NA UJUMBE WAKE WAPATA SEMINA BEIJING LEO


SEMINA BEIJING
 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wa nne kulia) na ujumbe wa viongozi 14 wa CCM anaoongoza nao katika ziara ya mafunzo nchini China kwa mwaliko wa Chama Cha Kikomunisti cha nchi hiyo (PCP), wakiwa kwenye semina iliyoendeshwa na Profesa Fan Jida (wa nne kushoto) kukua kwa Uchumi wa China na changamoto inazokabiliana nazo kiuchumi. Semina hiyo imefanyika katika hoteli ya Wanshou mjini Baijing Chna, Machi 18, 2013. Baadhi ya washiriki kutoa kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya Maganga Sengelema, Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Martine Shigela, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Simiyu Dk. Titus Kamani, Mjumbe wa Kati Kuu ya CCM, Khadija Aboud na Katibu wa NEC, Siasa, Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Vuai Ali Vuai. (Picha na Bashir Nkoromo).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top