Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KATIBU WA BUNGE DKT. KASHILILAH ALIVYOSHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA SURPRISE


Dkt. Kashilila akiwapongeza watumishi wenzake kwa kumfanyia surprise ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa.
Wakati ulifika wa Dk. Kashililah kuhesabiwa na kuzima mishumaaa.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bi. Kitolina Kippa, akimkabidhi kadi ya pongezi iliyoandaliwa na watumishi wa Ofisi ya Bunge kwa kutimiza miaka 51.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bi. Kitolina Kippa akimlisha keki Dkt. Thomas Kashililah kumpongeza katika siku yake ya kuzaliwa.
Dkt. Kashililah akiwalisha keki watumishi wa Ofisi ya Bunge.
 
Credits: Sufiani Mafoto
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top