Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt Apokewa Kwa Nderemo Ikulu,Akutana na Rais Jakaya Kikwete

 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt Ikulu Dar es salaam leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtembeza Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt katika viunga vya Ikulu kabla ya mgeni huyo kupanda mti wa kumbukumbu.
Rais Jakaya kikwete pamoja na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt wakielekea kupanda mti wa kumbukumbu viwanja vya ikulu leo
Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt akipanda mti wa kumbukumbu huku mwenyeji wake akishuhudia leo Ikulu
Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt akinyeshea mti wa kumbukumbu huku mwenyeji wake akishuhudia leo Ikulu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika maongezi ya faragha na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt leo Ikulu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimueleza Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt aina ya mti ataoupanda leo Ikulu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtembeza Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt katika viunga vya Ikulu kabla ya mgeni huyo kupanda mti wa kumbukumbu.
Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt akisalimiana na maafisa waandamizi wa Ikulu katika viunga vya Ikulu kabla ya mgeni huyo kupanda mti wa kumbukumbu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt baadhi ya mawaziri pichani akimsalimia waziri wa mambo ya nje na ushiirikiano wa kimataifa Bernard Membe
Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt akisalimiana na Waziri wa kazi na Ushirika wa Zanzibar Mhe Haroun Ali Suleiman
Mamia ya wananchi wakijiandaa kumlaki Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt kupitia lango la Mashariki la Ikulu Dar es salaam leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt wakiingia Ikulu huku wakishangiliwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt Ikulu Dar es salaam leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika maongezi ya faragha na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt leo Ikulu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt na ujumbe wake wakati wa mazungumzo rasmi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu Ikulu Mhe. Sanga na maofisa wengine waandamizi wakati akimsibiri mgeni wake
Msafara wa Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt ukikaribia lango la Mashariki la Ikulu Dar es salaam leo.Picha zoe na IKULU
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top