Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAFANYAKAZI WA VODACOM AFRIKA YA KUSINI NA TANZANIA WATOA MISAADA KWENYE KITUO CHA KUACHANA NA MADAWA YA KULEVYA MJINI ZANZIBAR.


 

Wafanyakazi wa Vodacom Afrika Kusini na wenzao kutoka Vodacom Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi pamoja na wateja wanaopata tiba katika kituo cha kutibu wanawake lkuachana na matumiiz ya dawa za kuelvya. Wafanyakazi hao wlaikitemebela kituo hicho kama sehemu ya kuthamini juhudi za kituo hicho kusaidia wanawake kuachana na matumizi ya dawa hizo za kulevya.
1071
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania pamoja na wenzao wa Afrika Kusini wakiwa wamejumuika na wateja wa kituo cha kuachana na matumizi ya dawa za kulevya (Sobber House) cha wanawake cha Mjini Zanzibar wakati wafanyakazi hao walipokitembelea kituo hicho na kutoa msaada wa vyakaula na vitu mbalimbali ili kuwapa moyo wanawake hao walio katika harakati za kuachana na matumizi ya dawa za kulevya kufikia azima yao.
Wafanyakazi wa Vodacom Afrika Kusini na wenzao kutoka Vodacom Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi pamoja na wateja wanaopata tiba katika kituo cha kutibu wanawake lkuachana na matumiiz ya dawa za kuelvya. Wafanyakazi hao wlaikitemebela kituo hicho kama sehemu ya kuthamini juhudi za kituo hicho kusaidia wanawake kuachana na matumizi ya dawa hizo za kulevya.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top