Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KAMPUNI YA MABIBO BEER YAWAANDALIA CHAKULA MADAKTARI BINGWA KUTOKA INDIA

 
SONY DSC
Mshauri wa Kimataifa wa Biashara Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati akiwatambulisha madaktari bingwa kutoka India ambao wapo nchini kwa ajili ya kutoa matibabu. Kulia ni Daktari Bingwa wa Macho kutoka Hospitali ya Narayana, Dk. Gagan Dudeja, Dk. Suhel Hassani ambaye ni bingwa wa magonjwa wa koo na shingo na Mwenyekiti Mtendaji wa Hospitali ya Bangarne ya India, Jyotsna Thajur. SONY DSC
Profesa Dk.Anthony Pais ambaye ni Bingwa wa Magonjwa ya Kansa kutoka nchini India (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari katika hafla hiyo. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Bangarne ya India, Jyotsna Thajur na Mshauri wa Kimataifa wa Masuala ya Biashara wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira
SONY DSC
Mmoja wa maofisa wa Hospitali ya Sanitas, Suresh (kulia), akitoa neon kwenye hafla hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta Rugemalira na Meneja Biashara wa Hospitali ya Sanitas, Sarin.
SONY DSC
Mgeni mualikwa Balozi Shengoma Lawrence, akiuliza swali kwa madaktari bingwa hao kutoka India.

SONY DSC
Mhariri Mkuu wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Bernadina Chahali (kushoto), akiuliza swali kwa madaktari hao. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta Rugemalira na Meneja Biashara wa Hospitali ya Sanitas, Sarin na mmoja wa maofisa wa Hospitali ya Sanitas, Suresh SONY DSC
Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Sanitas iliyopo Jengo la Baraka barabara ya Mwai Kibaki Mikocheni jijini Dar es Salaam Murty (kushoto), akihutubia kwenye hafla hiyo. Kulia ni Mshauri wa Kimataifa wa Masuala ya Biashara wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira na Profesa Dk. Anthony Pais ambaye ni Bingwa wa Magonjwa ya Kansa kutoka nchini India 7
Mshauri wa Kimataifa wa Masuala ya Biashara wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira (wa pili kushoto), akizungumza na Dk. Mark Bingilaki (kulia). Kushoto ni Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania, John Mgetta na Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo, Benedicta Rugemalira
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top