Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KATIBU MKUU WA CCM ABDURAHMAN KINANA AZUNGUMZA NA WANA KILOSA, AWASILI WILAYANI GAIRO

 

 
7Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana kulia akizungumza na Mohamed Seif Khatib katikati na Mjumbe wa Katibu wa NEC Idara ya Oganizesheni na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro INNOCENT KALOGERIS mara baada ya kuwasili Wilayani Gairo wakitokea Wilayani Kilosa ambako kabla ya kuondoka kulifanyika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Kilosa Town mjini Kilosa pia ilifanyika mikutano ya ndani ambapo Katibu Mkuu aliongea na viongozi wa mashina, Madiwani wenyeviti, wajumbe na waasisi wa chama hicho ikiwani pamoja na kufungua mashina katika kuimarisha chama na kukagua baadhi ya shughuli za maendeleo, kushoto ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi6Kikundi cha ngoma za asili ya kabila la Wapogolo kikicheza ngoma hiyo kabla ya kufanyika kwa mkutano wa hadhara katika uwanja wa Kilosa Town na kuhudhuriwa na wananchi mbalimbali pamoja na wafuasi wa chama hicho5Kwaya ya CCM Kilosa ikiimba katika mkutano huo uliofanyika kwenye uwanja wa Kilosa Town leo.
4Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi chama cha Mapinduzi akiwahutubia wananchi waliojitokeza katika uwanja wa Kilosa Town uliofanyika mjini Kilosa leo3Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akiwahutubia wananchi waliojitokeza katika mkutano huo uliofanyika mjini Kilosa leo.12Viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Kilosa wakimsikiliza Ndugu Abdurahman Kinana wakati alipokutana nao leo katika mkutano wa ndani mjini Kilosa10Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akizungumza na viongozi wa CCM Wilaya ya Kilosa katika mkutano wa ndani.9Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi chama cha Mapinduzi akizungumza na mmoja wa watoto waliohudhuria katika uzinduzi wa shina mjini Kilosa6Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi chama cha Mapinduzi akiwa amekaa na akina mama kwenye mkeka huku akisaini kitabu cha wageni wakati wa uzinduzi wa mashina mjini Kilosa.4Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akipandisha bendera mara baada ya kuzindua tawi la CCM Kibaoni wakati akiwa njiani kuelekea Wilayani Kilosa leo.1Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akimsikiliza Datomax Selanyika Kaimu Mkuu wa Hifadhi ya Mikumi wakati alipokuwa akimuelezea faida za kuhifadhi Mbuga za wanyama na kutunza mazingira ya mbuga hizo, Datomax pia amezungumzia mpango wa kuihamisha barabara ya lami itokayo Dar es salaam kwenda Tunduma ambayo imekatisha katika mbuga hiyo na faida za kuihamisha

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top