Picha za Mazishi ya mwenyekiti wa BAWACHA kata ya Sokoni I, Judith
William Moshi, aliefariki kwa mlipuko wa bomu kwenye viwanja vya Soweto
jijini Arusha siku ya kufunga kampeni za chaguzi ndogo tarehe
15.06.2013, uchaguzi ambao ulikuwa ufanyike tarehe 16.06.2013.
Umati wa wafuasi wa Chadema wakati wa mazishi ya kiongozi huyo.
on Thursday, June 20, 2013
2 comments
"Ni afadhali kupambana na kundi la chui 100 wanaoonekana, kuliko nyoka mmoja anayeg'ata familia yako na kujificha ndani ya nyumba unayoishi"
ReplyAma kweli "TANZANIA" sasa "TUNZANIA" One day God will "JUDGE" Tomorrow is not far, its coming around,"Time is about to Tell"
ReplyHaya yote si bure ndg zangu "Nothing goes for Nothing"
Post a Comment