Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAJUMBE WA BODI YA NHIF WAFANYA ZIARA MAKAO MAKUU

 


Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jana walifanya ziara katika ofisi za Makao Makuu ya Mfuko huo kwa lengo la kutembelea ofisi hizo na kuangalia mazingira ya kazi.
Mkurugenzi wa Uendeshaji, Eugen Mikongoti akitoa maelezo ya namna ya kuhifadhi kumbukumbu za wanachama katika kituo cha kisasa cha Mfuko huo.
Wajumbe hao wakipata maelezo kutoka kwa Ofisa wa NHIF namna ya upatikanaji wa haraka wa kumbukumbu za wanachama zinazohifadhiwa katika kituo hicho.
Wajumbe wakiendelea kujifunza zaidi katika kituo cha kuhifadhia kumbukumbu.
Mkurugenzi Mkuu Emanuel Humba (wa nne kulia) akifafanua jambo wakati wa ziara hiyo
*****
Wajumbe walioteuliwa hivi karibuni wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Balozi Ali Mchumo, Mwanaidi Mtanda, Ezekiah Oluoch, Donan Mmbando, Mohamed Mohamed, Lydia Choma, Mohamed Hashim, Charles Kajege na Emanuel Humba ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo.
Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Raphael Mwamoto walipozuru Makao Makuu jana.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top