Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KINACHOENDELEA KWENYE ZIARA YA KATIBU MKUU KINANA

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,Katibu wa CCM Mkoa wa Tabora Ndugu Idd Ame.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa wilaya ya Nzega Mkoani Tabora mara tu baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa vibanda 54 katika uwanja wa Samora.
Baadhi ya Madiwani wa CCM wa wilaya ya Nzega wakinyoosha mikono juu kuwapungia wananchi wakati wa mkutano wa hadhara uliowakutanisha  waendesha pikipiki,baiskeli na wauza mboga mboga wa wilaya ya Nzega.
Mohamed Munazir ,Mwenyekiti wa Wazazi Kata ya Bukene.
Katibu wa CCM Wilaya ya Nzega Kajoro Vyohoroka akizungumza machache  wananchi wa wilaya ya Nzega .
Katibu wa CCM Mkoa wa Tabora ndugu Idd Ame akitoa bashraf wakati wa mkutano wa hadhara.
Mtanzania Mzalendo akiwa kwenye eneo la Mkutano wa hadhara wilayani Nzega.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia wakazi wa Wilaya ya Nzega .
.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea Katiba ya Chama Cha Ushirika  cha Akiba na Mikopo (Vijana Nzega Saccos ltd) kama ishara ya uzinduzi wa Katiba hiyo.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisoma cheti cha utambulisho wa mmoja wa waasisi wa TANU, Bibi Amina Maufi walipomtembelea nyumbani kwake Nzega.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza muasisi wa TANU Bibi Amina Maufi , kulia ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mbunge wa jimbo la Nzega pamoja na viongozi wengine wa Chama.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top