Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TAMASHA LA JINSIA LAENDELEA KUTOA ELIMU NA BURUDANI


 
 Msanii wa moja ya vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitoa burudani katika maadhimisho ya Tamasha la Jinsia Tanzania akicheza na nyoka aina ya chatu.
ki wa wakicheza kwa kuzunguka duara (mduara) kwenye tamasha lia jinsia. Baadhi ya washiriki wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 wakicheza kwenye tamasha hilo 
Mmoja wa wasanii wa ngonjera kutoka kundi la GDSS (kulia) akiimba kwa hisia akiwa jukwaani. Washiriki wa Tamasha hilo jamii ya kimasai nao hawakuwa nyuma. Pichani kikundi cha sanaa cha wanawake wa kimasai wakiimba kwenye Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 Washiriki wa Tamasha hilo jamii ya kimasai wakifurahiya jambo kwenye Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 . Ngoma na mbwembwe zake bwana! Pichani ni moja ya vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitoa burudani katika maadhimisho ya Tamasha la Jinsia Tanzania vikitoa burudani.
 
Ngongoti na ngoma...! Pichani ni moja ya vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitoa burudani katika maadhimisho ya Tamasha la Jinsia Tanzania vikitoa burudani.
 
Mmoja wa Ma-MC wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 akizungumza kutoa matangazo anuai kwenye tamasha hilo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top