Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Alichokisema Jaji Warioba April 23 kwenye mkutano na waandishi wa habari wa Twaweza.

 

Image00007
April 23 Asasi ya Twaweza kupitia ukumbi wa Makumbusho wa Taifa walikua na uzinduzi wa matokeo ya utafiti wa maoni kuhusu namna Watanzania wanavyoona uwakilishi wao katika bunge maalum la katiba,miongoni mwa watu waliopata nafasi ya kuongea ni pamoja na Jaji Mzee Joseph Sinde Warioba.
Image00001
Miongoni mwa vitu alivyovizungumzia Jaji Warioba ni kuhusu kuingizwa siasa na Dini na kuomba kutochanganywa kwa vitu hivyo huku akipinga kauli za baadhi ya wajumbe wa Bunge kuingilia baadhi ya watumishi wa serikali kama Jeshi la Wananchi na Jeshi la Polisi,zitumie dakika hizi kumsikiliza Jaji Warioba.
Bonyeza play kusikiliza.

millard ayo

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top