Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

CHELSEA YAPIGWA 2-1 NA SUNDERLAND DARAJANI...MOURINHO UBINGWA SASA NDOTO


CHELSEA imezidi kujitoa kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya kufungwa mabao 2-1 na Sunderland usiku huu Uwanja wa Stamford Bridge, London.
Kipigo hicho kinaifanya The Blues ya Jose Mourinho ibaki na pointi zake 75 baada ya kucheza mechi 35 ikibaki nafasi ya pili, nyuma ya Liverpool inayoongoza kwa pointi zake 77 za mechi 34.
Dogo anatisha; Connor Wickham akishangilia bao lake leo


Mchezaji wa Chelsea, Cesar Azpilicueta akiwa amemuangukia kipa wa Sunderland, Vito Mannone

Mkongwe Samuel Eto'o alianza kuifungia Chelsea dakika ya 12 akimalizia pasi ya Willian, lakini Sunderland ikatoka nyuma kwa mabao ya Connor Wickham dakika ya 18 na Fabio Borini dakika ya 82 kwa penalti kuibuka mshindi wa mechi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top