Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAGARI MAWILI YAGONGANA MAFIATI MKOANI MBEYA MUDA MFUPI ULIOPITA

 


Wakazi wa eneo la Mafiati Mkoani Mbeya wakishuhudia ajali iliyotokea katika eno hilo muda mfupi uliopita na kuhusisha magari madogo mawili moja likiwa ni Mazda yenye namba za usajili T935 BJP na gari nyingine Toyota Gaia ambayo namba zake hazikupatikana kwa haraka
Gari yenye namba za usajili T 935 BJP ikiwa imeharibika vibaya mara baada ya kugongana na gari nyingine ndogo aina ya Toyota Gaia (haipo pichani) katika eneo la Mafiati Mkoani Mbeya. Katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.
Wakazi wa Mafiati Mbeya wakilitazama gari aina ya Mazda yenye namba za usajili T935 BJP jinsi ilivyoharibika mara baada ya kupata ajali kwa kugongana na gari ndogo aina ya Toyota Gaia muda mfupi uliopita katika Eneo la Mafiati Mkoani Mbeya, Nyuma ni gari aina ya Toyota gaia iliyogongana na Gari hiyo aina ya Mazda.
 Wakazi wa Mafiati wakilitazama Gari aina ya Toyota Gaia ambazo namba zake hazikuweza kupatika kwa haraka mara baada ya kugongana na gari aina ya Mazda katika Eneo la Mafiati Mkoani Mbeya muda mfupi uliopita.
 Gari aina ya Toyota Gaia ikiwa imeharibika pembeni kama inavyoonekana katika picha. Picha na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog - Mbeya
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top