Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA MRADI WA MAISHA, UNAOHUSU AFYA YA MAMA NA MTOTO, JIJINI DAR.

 

01 (6)  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia na kupata maelezo kutoka kwa Meja Ali Kitundu, kuhusu elimu ya awali kwa wanafunzi wanaojifunza elimu ya afya kabla ya ajila., wakati alipofika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kufungua Kongamano la Mradi wa Maisha kuhusu Afya ya Mama na Mtoto.  Kutoka kulia ni Dkt. Grace Qoro, Waratibu wa mradi huo, Jasmine Chechewa na Shallah Ukende. Picha na OMR02 (6) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo jinsi ya kumhudumia mama mjamzito kutoka kwa Mratibu Msaidizi wa Afya Mzazi na Mtoto wa Wilaya ya Ilala, Edith Mboga, wakati alipofika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kufungua Kongamano la Mradi wa Maisha kuhusu Afya ya Mama na Mtoto.  Kulia ni Mshauri wa Ukunga Mradi wa Maisha, Scholastica Chibehe. Picha na OMR04 (3) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia, wakati alipofika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kufungua Kongamano la Mradi wa Maisha kuhusu Afya ya Mama na Mtoto.  Picha na OMR
05 (2) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi cheti mwakilishi wa Mradi wa Maisha kutoka Mkoa wa Dar es Salaam, Theresa Mmbando, wakati wa ufunguzi rasmi wa Kongamano la Mradi wa Maisha kuhusu Afya ya Mama na Mtoto, jijini Dar es Salaam, leo.  Picha na OMR06 (1)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi cheti mwakilishi wa Mradi wa Maisha kutoka Mkoa wa Morogoro, ambaye ni Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro, Eliya Ntandu,  wakati wa ufunguzi rasmi wa Kongamano la Mradi wa Maisha kuhusu Afya ya Mama na Mtoto, jijini Dar es Salaam leo.  Picha na OMR
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top