Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Miradi ya Maji Yazinduliwa Songea

 


DSC_1684 copy
Hawa Ladha meneja miradi Serengeti breweries,  Bw Evans Mlelwa meneja mawasiliano serengeti breweries na Bw Joseph Mkirikiti Mkuu wa Wilaya Songea wakizindua miradi ya maji Songea iliyogharimu zaidi ya millioni 140 hivi karibuni.

DSC_1748 copy

Hawa Ladha meneja miradi Serengeti breweries,  Bw Evans Mlelwa meneja mawasiliano serengeti breweries na Bw Joseph Mkirikiti Mkuu wa Wilaya Songea wakizindua miradi ya maji Songea iliyogharimu zaidi ya millioni 140 hivi karibuni. DSC_1754 copy
Mh Charles Magama Meya wa Manispaa ya Songea,  Mh Joseph Mkirikiti Mkuu wa Wilaya Songea Bw. Evans Mlelwa Meneja mawasiliano Serengeti Breweries na Hawa Ladha Meneja miradi Serengeti Breweries wakizindua miradi ya maji Tanga na Mletele iliyogharimu zaidi ya milioni 140 hivi karibuni



………………………………………………………………………

Kampuni ya Serengetti Breweries inatambua umuhimu wa maji kwa binadamu na pia mchango wa maji katika maendeleo ya nchi, kiuchumi na kijamii. Tutahakikisha tunaendelea kuwekeza katika miradi ya maji kwa ajili ya jamii inayotuzunguka ili kuongeza ari ya uwajibikaji kwa maendeleo ya taifa letu na kwa ustawi wa kila mmoja wetu”,ameongeza Bw. Mlelwa.

“Kampuni ya Bia ya Serengeti na EABL Foundation mpaka sasa imeshawekeza zaidi ya milioni 500 za kitanzania , katika maeneo mbalimbali ambapo zaidi ya watu 450,000 wanafaidika na miradi hiyo”.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top