Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MRADI WA SECO WAZINDULIWA ARUSHA

 


Moja
Katibu Mtendaji wa UNCTAD Dkt Mukhisa Kituyi (Kushoto), Mkurugenzi wa Idara ya Mtangamano wa Biashara wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bw Lucas Saronga( Katikati) na Balozi wa Uswizi nchini Olivier Chave(Kulia) wakisaini hati za makubaliano ya utekelezaji mradi wa SECO.
Mbili
Picha ya pamoja ya wafadhili na wawakilishi wa Serikali ya Tanzania walioshiriki uzinduzi wa mradi wa SECO uliofanyika Jijini Arusha.

Tatu
Picha ya pamoja ya Washiriki wote wa Mkutano na uzinduzi wa mradi wa SECO uliofanyika mjini Arusha.
nne Tano
Baadhi ya Washiriki wa uzinduzi wa mradi wa SECO uliofanyika Jijini Arusha.
Mradi wa kuunganisha sekta za Wazalishaji matunda, mbogamboga na wenye hoteli (SECO) unaofadhiliwa na Serikali ya  Switzerland umezinduliwa Jijini Arusha.
Mradi huo ambao lengo lake kuu ni kuboresha maisha ya watanzania wanaojihusisha na sekta hizo kwa kuongeza uzalishaji wao na uhakika wa masoko ya ndani na nje ya nchi, unaanza utekelezaji wake mara moja ukiwa na thamani ya jumla ya Dola za Ki marekani milioni tatu na nusu.
Uzinduzi wa Mradi huo umeshuhudiwa na Katibu Mtendaji wa UNCTAD Dkt Mukhisa Kituyi, Balozi wa Uswizi nchini Tanzania Bw Olivier Chave na Mkurugenzi wa Idara ya Mtangamano wa Biashara katika Wizara ya Viwanda na Biashara Bw  Lucas Saronga. 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top