Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)
akizungumza na Uongozi wa Wizara Miundimbinu na Mawasiliano katika
Utekelezaji wa Mpango kazi wa robo mwaka kutoka Julai-Machi
2013/2014,ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja leo asubuhi.[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
on Thursday, April 24, 2014
Post a Comment