Msemaji wa polisi amesema: "Ni jambo la ajabu, lakini ni hatari sana kwake kuendesha gari." Polisi huyo amesema itakuwa vyema kama ataajiri dereva wa kumuendesha. Gari la bwana Wo linashikiliwa na polisi ili kumzuia asiendelee kuendesha.
Picha na taarifa kutoka Metro na CEN. (E.L)
Post a Comment