Heshima:
Gwiji wa Manchester United akipozi katika picha baada ya kupata digrii
yake kwenye ukumbi wa Victoria Hall mjini Bolton.
GWIJI wa Manchester United,
amezawadia shahada ya heshima ya Udaktari na chuo kikuu cha Bolton
kutokana na mchango wake mkubwa aliotoa katika mchezo soka.
Giggs aliyestaafu kucheza soka
mwishoni mwa msimu uliopita amepokea udaktari wa sayansi kwa mchango
wake mkubwa katika michezo kwenye mahafali ya chuo iliyofanyika ukumbi
wa Victoria Hall mjini Bolton jana ijumaa mchana.
Giggs anaongeza shahada hiyo
katika shahada yake ya kwanza ya OBE aliyopata kutoka kwa Malkia mwaka
2007, shahada ya pili (MA) alipewa mwaka uliofuata na chuo cha Salford.
Post a Comment