Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA WABUNGE MAREKANI AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE D’SALAAM

PIX 1 (3)Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge 200 wa Marekani, Dk Kaush Arha aliyemtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana kwa lengo la kujenga ushirikiano katika sulala la kuwalinda wanyama pori nchini. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


PIX 2 (3)Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge 200 wa Marekani, Dk Kaush Arha aliyemtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana kwa lengo la kujenga ushirikiano katika sulala la kuwalinda wanyama. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

PIX 3 (2)Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akimshukuru Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge 200 wa Marekani, Dk Kaush Arha kwa kumtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana. Waziri Chikawe na mgeni wake walijadili masuala mbalimbali ya kujenga ushirikiano wa kuwalinda wanyama. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

 PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top